Wednesday, July 26, 2017

Hafla ya kumuaga Balozi wa Israeli nchini Mhe. Yahel Vilan

  
 Balozi Innocent Shiyo Mkurugenzi wa Idara ya Afrika akitoa neno la shukrani kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe.Balozi Augustine Mahiga kwenye hafla ya kumuaga Balozi wa Israel Nchini aliyemaliza muda wake Mhe. Yahel Vilan,  tarehe 22 Julai,2017-  Hyatt, Dar es salaam.


Balozi Innocent Shiyo akimkabidhi zawadi Mhe.Balozi Yahel Vilan kwa niaba ya Mhe. Waziri Mahiga katika hafla hiyo.

Balozi Innocent Shiyo na Balozi Vilan pamoja na wageni wengine wakiwa katika hafla hiyo.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.