Thursday, July 27, 2017

Balozi Mero amkaribisha Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu Professa Mussa Assad New YMork

Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania kwenye Umoja wa Mataifa Balozi Modest Mero akimkaribisha Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa hesabu za Serikali Professa Mussa Assad kwenye ofisi za uwakilishi Jijini New York Marekani hivi karibuni. 

http://www.mwananchi.co.tz/habari/CAG-awasilisha-ukaguzi-mashirika-ya-Umoja-wa-Mataifa/1597578-4034028-j2vri7/index.html

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.