Balozi wa Ufaransa nchini, Mhe. Frederic Clavier akiongea na vyombo vya habari katika mkutano huo.
Sehemu ya wafanyabiashara wakiwa katika mkutano huo
Sehemu ya wafanyabiashara wakiwa katika Mkutano
Mkurugenzi wa TanTrade Bw. Edwin Rutageruka, akifafanua jambo katika mkutano huo
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na Amerika, Bw. Salvatory Mbilinyi akiongea katika Mkutano huo.
Bi. Mona Mahecha, Afisa Mambo ya Nje(wa kwanza) na wajumbe wengine wakifuatilia Mkutano
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano, Bi Mindi Kasiga ambaye alikuwa Mshehereshaji wa Mkutano huo akiongea jambo.
Mkutano ukiendelea
Balozi Clavier akiongea na vyombo vya habari baada ya Mkutano, pembeni yake ni Balozi Shelukindo akisikiliza.
Balozi Shelukindo na Balozi Clavier akiwa katika picha ya pamoja na wafanyabiashara baada ya Mkutano.