Friday, April 13, 2018

Balozi Adadi Ashiriki Mkutano wa Usalama barabarani jijini New York


Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama, Mhe. Balozi Adadi Rajab (Mb) akiwa katika mkutano wa kimataifa kuhusu kuimarisha usalama barabarani duniani unaofanyika Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani. Kushoto ni Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Balozi Modest Mero. Mkutano huo ni kwa ajili ya kupitia Azimio la pamoja la kuimarisha usalama barabarani duniani ili kupunguza vifo na ulemavu unaosababishwa na ajali za barabarani. kwa nuhjibu wa ripoti iliyotolewa na WHO inakadiriwa watu milioni 1.3 wanakufa kila mwaka kwa ajali za barabarani.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.