Tuesday, April 3, 2018

Tanzania na Mfuko wa Maendeleo wa Abu Dhabi zasaini Mkataba wa Mkopo wa Masharti nafuu.

Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa - TAMISEMI, Mhe. Mhandisi Mussa Ibrahim Iyombe (Kushoto), na Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Maendeleo wa Abu Dhabi, Mhe. Saif Al Suwaidi, wakisaini Mkataba wa Mkopo wenye Masharti nafuu wa kiasi cha shilingi bilioni34 kwa ajili ya kuboresha barabara ya Uvinza hadi Malagarasi, yenye urefu wa Kilometa 31, kwa kiwango cha lami.

   Mhe. Mhandisi Mussa Ibrahim Iyombe (Kushoto), na Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Maendeleo wa Abu Dhabi, Mhe. Saif Al Suwaidi, (Kushoto),wakionesha mkataba huo baada ya kusainiwa.

Mhe. Mhandisi Mussa Ibrahim Iyombe (katikati) na Balozi wa Tanzania nchi za Umoja wa Falme za Kiarabu, Mhe. Mbarouk Nassor Mbarouk kushoto kwake na wengine ni watumishi wa Wizara, Wizara ya Fedha na watumishi wa Ubalozi wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kusaini Mkataba huo.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.