Sunday, April 29, 2018

Balozi Fatma Rajab na Watanzania wa Qatar waadhimisha miaka 54 ya Muungano

Balozi wa Tanzania nchini Qatar Mheshimiwa Fatma Rajab akitoa hotuba wakati wa Sherehe za kuadhimisha Muungano wa Tanganyika na Zanzibar

Balozi Fatma Rajab akiwa na viongozi mbalimbali wa Serikali ya Qatar

Watoto wa Kitanzania waishio Doha na wanafamilia wa Ubalozi wa Tanzania nchini humo wakiwa kwenye mavazi ya utamaduni wa Tanzania wakati wa maadhimisho ya miaka 54 ya Muungano.







No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.