Friday, April 6, 2018

BALOZI SLAA AWASILISHA HATI ZAKE ZA UTAMBULISHO KWA MFALME WA SWEDEN

Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Mhe. Wilbroad Slaa amewasilisha Hati zake za Utambulisho kwa Mfalme Carl XVI Gustaf wa Sweden. tarehe 06.04.2018
Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Mhe. Wilbroad Slaa akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya maofisa wa ofisi ya Mfalme wa Carl XVI Gustaf wa Sweden na Maofisa wa Ubalozi wa Tanzania nchini sweeden mara baada ya utambulisho


No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.