Monday, April 23, 2018

Naibu Waziri akutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Bunge la Afrika

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt. Susan Kolimba akisalimiana na Rais wa Bunge la Afrika Mhe.Roger Nkodo Dang Wizarani Mjini Dodoma.

Mhe. Dang amekuja nchini kwa lengo la kuishukuru Serikali kwa ushirikiano iliompa katika kipindi chote ambacho amelitumikia hilo.

Mhe.Dang anakaribia kumaliza muda wake wa kipindi cha miaka miwili wa kutumikia nafasi hiyo.  
Naibu Waziri Mhe. Dkt. Susan Kolimba akimsikiliza  Rais wa Bunge la Afrika Mhe.Roger Nkodo Dang


No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.