Monday, April 9, 2018

Waziri Mahiga akutana na Balozi wa Hispania nchini

 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Augustine Mahiga akifafanua jambo kwenye mazungumzo na Balozi wa Hipania nchini Mhe. Felix Costales Artieda alipomtembelea Wizarani tarehe 09 Aprili,2018, Jijini Dar es Salaam.
Mazungumzo hayo yalijikita katika kuzidi kuimarisha ushirikiano uliopo kati ya Tanzania na Hispania.


 Mhe. Balozi Felix Costales Artieda akieleza jambo kwa Mhe. Waziri Mahiga kwenye mazungumzo hayo.

 Mazungumzo yakiendelea, wanaoshuhudia mazungumzo hayo ni Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na Amerika Bw. Salvatory Mbilinyi(kulia katikati),Katibu wa Waziri Bw. Magabiro Murobi (Kulia mwisho)na kushoto ni Naibu Balozi Bi. Teresa Martin. 
Wakiwa katika Picha ya Pamoja

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.