Friday, April 27, 2018

Ubalozi wa Tanzania, Uingereza waadhimisha miaka 54 ya Muungano wa Tanzania kwa Ibada Maalum

Juu na Chini ni Balozi wa Tanzania nchini Uingereza, Mhe. Dkt. Asha Rose-Migiro (katikati) akiwa na Watumishi wa Ubalozi pamoja na Watanzania waishio nchini Uingereza mara baada ya kumaliza Ibada Maalum ya kuadhimisha Miaka 54 ya Muungano wa Tanzania ambayo ilifanyika kwenye Kanisa la Westminster Abbey Jijini London.


No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.