Saturday, April 28, 2018

Watanzania Oman washerehekea miaka 54 ya Muungano kwa Mechi ya Mpira

Balozi wa Tanzania nchini Oman Mhe. Abdallah Kilima, akiwakabidhi Kombe Timu ya Zanzibar Heroes baada ya kuibuka mshindi wa mechi ya kuadhimisha miaka 54 ya Muungano dhidi ya Kilimanjaro Stars.Timu zilizoundwa na Watanzania waishio nchini Oman. Zanzibar Heroes ilishinda 2 - 1

Balozi Kilima akiwa kwenye picha ya pamoja na Timu ya Zanzibar Heroes
Balozi wa Tanzania nchini Oman akisalimiana na wachezaji wa Zanzibar Heroes na Kilimanjaro Stars kabla ya mechi hiyo ya kirafiki kusherehekea Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kuanza.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.