Thursday, December 8, 2011

Leaders arriving for the 50 years of Independence celebrations: Democratic Peoples Republic of Korea

Rais wa Bunge la Korea Mhe. Kim Jong Nam akiwasili nchini na kupita kwenye gwaride la heshima kwenye Kiwanja cha Ndege cha Mwalimu Julius Nyerere mjini Dar es salaam leo. Mhe. Kim Jong Nam ameambatana na ujumbe wa watu 17 akiwemo Waziri wa Mambo ya Nje wa Korea, kuhudhuria sherehe za miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania Bara.
 


H.E. Kim Jong Nam, President of The Presidium of the Supreme People's Assembly of DPRK arriving at the airport in Dar es salaam on the 8.12.2011 for the celebration of the 50th anniversary of Tanzania's Independence.   
Hon. Bernard MembeMinister for Foreign Affairs and International Cooperation, H.E. Kim Jong Nam and Hon. Selina Kombani, Minister of Justice and Constitutional Affairs watching entertainment at the aiport immedietely after arriving in Dar es salaam on 8.12.2011.
 Mhe. Bernard Membe, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa akiwa na Mhe. Kim Jong Nam, Rais wa Bunge la Korea wakiangalia vikundi vya Burudani mara baada ya kuwasili nchini. Mhe. Nam amepokelewa pia na Mhe. Selina Kombani, Waziri wa Katiba na Sheria (kulia).
 H.E. Kim Jong Nam is in the country for Uhuru celebrations and he is leading the delegation of 17 people from his country including Foreign Minister.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.