Friday, December 23, 2011

Waziri Membe azindua album ya Christina Shusho

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Bernard Membe akizungumzia uimbaji wa Christina Shusho na muziki wa injili nchini Tanzania wakati akizindua albamu mpya iitwayo Nipe Macho jijini Dar es salaam leo tarehe 23.12.2011.

Mhe. Bernard Membe akifurahia jambo wkati wa uzinduzi wa album ya Nipe Macho ya muimbaji wa injili Christina Shusho. Katikati ni mshereheshaji wa uzinduzi huo MC Harris.

Muimbaji Christina Shusho akiimba wimbo wake wa  Nipe Macho wakati wa uzinduzi wa album uliofanyika Diamond Jubilee jijini Dar es salaam.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.