Friday, December 23, 2011

Waziri Membe akutana na Mabalozi Wateule Leo

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Bernard Membe leo amekutana na Mabalozi Wateule walioapishwa wiki hii kushika vituo mbalimbali vya uwakilishi nje ya nchi kwenye Chuo Cha Diplomasia ambapo wanahudhuria kozi ya utambulisho kabla ya kuanza kazi rasmi. Pamoja nao ni Mabalozi Wastaafu, Wakufunzi na baadhi ya viongozi wa Wizara ya Mambo ya Nje.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.