Tuesday, November 25, 2014

Rais Kikwete apokea salamu za kheri toka kwa Rais Obama

Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mh. Liberata Mulamula akiwasilisha kwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete salamu za kumtakia afya njema kutoka kwa Rais wa Marekani Barack Obama leo jijini Baltimore, Maryland, Marekani.

Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiongea kwa furaha na ujumbe kutoka Ubalozi wa Tanzania ulioko jijini Washington DC uliomtembelea kumjulia hali na kuwasilisha salamu maalumu za pole za Rais Barack Obama jijini Baltimore, Maryland.  
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Balozi Liberata Mulamula na ujumbe wake wa maafosa waandamizi wa ubalozi wa Tanzania nchini Marekani baada ya kupokea salamu maalumu za kumtakia kheri ya afya njema kutoka kwa Rais Barack Obama wa Marekani leo jijini Baltimore, Maryland, Marekani.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Balozi Liberata Mulamula na ujumbe wake wa maafosa waandamizi wa ubalozi wa Tanzania nchini Marekani baada ya kupokea salamu maalumu za kumtakia kheri ya afya njema kutoka kwa Rais Barack Obama wa Marekani leo jijini Baltimore, Maryland, Marekani.
Rais Prof. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Balozi Mulamula na Maafisa Waandamizi wa Ubalozi Tanzania, nchini Marekani (Picha na Freddy Maro)

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.