Friday, November 14, 2014

Waziri Membe akutana na Mabalozi wa Misri na Sudan nchini

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akisalimiana na Balozi wa Misri hapa nchini, Mhe. Hossam Moharram alipofika Wizarani kwa mazungumzo kuhusu kuimarisha ushirikiano baina ya nchi hizi mbili.
Mhe. Membe akifafanua jambo wakati wa mazungumzo yake na Balozi Moharram. Wengine pichani ni Maafisa kutoka Ubalozi wa Misri.


......Waziri Membe na Balozi wa Sudan

Waziri Membe akisalimiana na Balozi wa Sudan hapa nchini, Mhe. Dkt. Yassir Mohamed Ali alipokutana nae kwa mazungumzo Wizarani.

Picha na Reuben Mchome

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.