Friday, November 21, 2014

Waziri Membe azindua Chama cha Urafiki wa Tanzania na China

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akitoa hotuba ya uzinduzi wa  Chama cha Urafiki wa Tanzania na China. Hafla ya uzinduzi huo ilifanyika Jijini Dar es Salaam na kuhuduhuriwa na Mwenyekiti wa Chama hicho ambaye ni Waziri Mkuu Mstaafu, Mhe. Dkt. Salim Ahmed Salim, Balozi wa China nchini, Mhe. Lu Yongqing na Viongozi wengine.
Mhe. Membe akihutubia.
Balozi wa China nchini, Mhe. Lu Yongqing akihutubia wakati wa hafla hiyo. 
Mwenyekiti wa Chama hicho Mhe. Salim nae akizungumza wakati wa hafla hiyo
Mhe. Membe kwa kushirikiana na Balozi Lu Yongqing wakizindua Chama hicho kwa mara nyingine.
Waziri Membe, Balozi Lu na Dkt. Salim pamoja na wageni waalikwa wakati wa hafla hiyo.
Waziri Membe pamoja na Wageni waalikwa wakiinua glasi juu kutakiana heri

Waziri Membe akijadiliana jambo na Dkt. Salim
Hafla ikiendelea

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.