Sunday, April 2, 2017

Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama yapitisha Bajeti ya Wizara

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt. Susan Kolimba (wa kwanza kushoto) akiwa na Viongozi wa Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama meza kuu kabla ya kuanza  kikao. Kamati hiyo imeridhia na kupitisha bajeti ya Wizara kwa mwaka wa fedha 2017/2018 ambayo baadae itawasilishwa mbele ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kikao cha Kamati kikiendelea

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Ramadhani Mwinyi akifuatilia jambo wakati wa kikao

Naibu Waziri Mhe.Susan Kolimba akizungumza wakati wa Kikao

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.