Tuesday, May 2, 2017

Watumishi wa Wizara washiriki maadhimisho ya sherehe ya Siku ya Wafanyakazi

Watumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki leo wameungana na Wafanyakazi wengine Duniani katika maadhidhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani katika Uwanja wa Jamhuri Mjini Dodoma.

Watumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wakiwa katika matembezi maalumu ya siku ya Wafanyakazi Duniani

Watumishi wa Wizara wakiwa katika  matembezi ya maadhimisho ya siku ya Wafanyakazi Duniani (Meo


No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.