Tuesday, December 5, 2017

Waziri Mahiga apokea Nakala za Hati za Utambulisho za Balozi Mteule wa Poland nchini


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga akipokea Nakala za Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Poland, Mhe. Krzysztof Buzalski. Makabidhiano hayo yamefanyika leo katika ofisi za Wizara Jijini Dar es Salaam.
Waziri Mahiga akiongea na Mhe.Buzalski ambapo katika mazungumzo yao amemuhakikishia kumpa ushirikiano katika utekelezaji wa majukumu yake awapo nchini.


Mazungumzo yakiendelea.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.