Friday, October 2, 2020

Mradi wa Umeme wa Pamoja wa Tanzania, Burundi, Rwanda Wafikia Pazuri


Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Brig. Gen. Wilbert Ibuge akipokelewa na Mkuu wa Kituo cha Huduma kwa Pamoja Mpakani cha Mutukula, alipowasili kwenye kituo hicho kujionea shughuli zinavyoendelea.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Brig. Gen. Wilbert Ibuge akikagua ubora wa mashine ya kukagulia mizigo iliyofungwa katika Kituo cha Huduma kwa Pamoja cha Mutukula.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Brig. Gen. Wilbert  Ibuge akiongea na mmoja wa wafanyakazi wa Kituo cha Hudum kw Pamoja Mpakani cha Mutukula.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Brig. Gen. Wilbert  Ibuge akisaini kitabu cha kabla ya kuanza kikao na watumishi wa Kituo cha Huduma kwa Pamoja Mpakani cha Mutukula.


Mkurugenzi wa Miundombinu kutoka Jumuiya ya Afrika Mashariki, Dkt. Kamugisha Kazaura akitoa maelezo namna EAC inavyoratibu upatikanaji wa fedha kwa ajili ya kutekeleza miradi ya kikanda. 




Ujenzi wa Mtambo wa Kuzalisha Umeme katika Mto Kagera

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Brig. Gen. Wilbert  Ibuge  akisaini Kitabu cha Wageni mara baada ya kuwasili kwenye eneo unapojengwa Mtambo wa Kuzalisha Umeme katika Mto Kagera.


Balozi wa Tanzania nchini Burundi, Mhe. Dkt. Jilly Maleko akisaini Kitabu cha Wageni mara baada ya kuwasili kwenye eneo unapojengwa Mtambo wa Kuzalisha Umeme katika Mto Kagera.

 Mhandisi wa Kampuni inayojenga Mtambo wa kuzalisha umeme katika Mto Kagera akitoa maelezo kuhusu maendeleo ya ujenzi wa mtambo huo kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Brig. Gen. Wilbert  Ibuge

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Brig. Gen. Wilbert  Ibuge akiuliza maswali kwa wahandisi wanaojenga mradi wa kuzalisha umeme katika Mto Kagera.

Sehemu ya Eneo unapojengwa Mtambo wa Kuzalisha Umeme katika Mto Kagera.

OSBP ya Rusumo

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Brig. Gen. Wilbert  Ibuge akisalimiana na watumishi wa Kituo cha Kutoa Huduma kwa Pamoja Mpakani cha Rusumo, mara baada ya kuwasili kituoni hapo kwa ziara ya kikazi.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Brig. Gen. Wilbert  Ibuge akiongea na Mtalaam wa Afya katika Kituo cha Huduma kwa Pamoja Mpakani cha Rusumo.

Mkuu wa Kituo cha Huduma kwa Pamoja Mpakani cha Rusumo, Bw. Jackson Mushi akitoa taarifa ya utekelezaji wa kituo hicho kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Brig. Gen. Wilbert  IbugeA


Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Brig. Gen. Wilbert  Ibuge akiongea na watumishi wa Kituo cha Huduma kwa Pamoja Mpakani cha Rusumo

Watumishi wa Kituo cha Huduma kwa Pamoja Mpakani cha Rusumo wakiwa katika kikao na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Brig. Gen. Wilbert  Ibuge.

Mkurugenzi wa Miundombinu kutoka Jumuiya ya Afrika Mashariki, Dkt. Kamugisha Kazaura na Msaidizi wa Katibu Mkuu, Bw. Hangi Mgaka wakitabasamu akati wa kikao cha briefing kwenye Kituo cha Huduma kwa Pamoja Mpakani cha Rusumo.


Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Brig. Gen. Wilbert  Ibuge, Balozi wa Tanzania nchini Burundi, Dkt. Jilly Maleko, Naibu Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Mhandisi Steven Mlote pamoja na ujumbe wao akitemb kwa miguu kuelekea katika Kituo cha Kutoa Huduma kwa Pamoja Mpakani cha Rusumo.

Malori yakiwa katika foleni ya ukaguzi katika Kituo cha Kutoa Huduma kwa Pamoja Mpakani cha Rusumo.

Bango la kutoa elimu kuhusu wafanyabiashara wadogo wanavyoweza kufanya shughuli zao katika nchi a EAC bila usumbufu.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Brig. Gen. Wilbert  Ibuge na ujumbe wake wakiwa katika picha ya pamoja na watumishi wa Kituo cha Huduma kwa Pamoja Mpakani cha Rusumo.


 





No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.