Thursday, November 5, 2020

MHESHIMIWA DKT. JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI AKILA KIAPO CHA URAIS

Mheshimiwa Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akila kiapo cha kuongoza Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye sherehe za uapisho zilizofanyika Uwanja wa Jamhuri, jijini Dodoma.

Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akila kiapo cha kuongoza Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye sherehe za uapisho zilizofanyika Uwanja wa Jamhuri, jijini Dodoma.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akihutubia hadhira iliyohudhuria sherehe ya uapisho katika uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma, muda mfupi baada ya kula kiapo. 

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.