Monday, November 16, 2020

PROFESA KABUDI AKIAPISHWA KUWA WAZIRI WA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA AFRIKA MASHARIKI

 

Mhe. Prof. Palamagamba John Kabudi akiapa mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli, kuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki katika hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino jijini Dodoma
Mhe. Prof. Palamagamba John Kabudi na Mhe. Dkt. Philip Mpango wakiapa, Ikulu Chamwino jijini Dodoma. Mhe. Dkt. Philip Mpango ameapa kuwa Waziri wa Fedha na Mipango

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.