Wednesday, February 10, 2021

TANZANIA YACHAGULIWA KUNUFAIKA NA MRADI WA ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 8 WA INTRA – ACP

 


Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji ambaye pia anaiwakilisha Tanzania katika Umoja wa Ulaya Mhe. Jestas Nyamanga akifafanua kuhusu upatikanaji wa soko la migebuka na dagaa wa Kigoma katika soko la Umoja wa Ulaya jijini Dar es Salaam


No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.