Friday, February 19, 2021

WAZIRI PROF. KABUDI AWASILI NCHINI UFARANSA KWA ZIARA YA KIKAZI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) akisalimiana na Waziri wa Ulaya na Mambo ya Nje wa Ufaransa Mhe. Jean Yves Le Drian mara baada ya kuwasili katika Wizara ya Mambo ya Nje wa Ufaransa
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) akiteta jambo na Waziri wa Ulaya na Mambo ya Nje wa Ufaransa Mhe. Jean Yves Le Drian wakiwa wanaelekea sehemu ya mazungumzo rasmi
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) akiteta jambo na Waziri wa Ulaya na Mambo ya Nje wa Ufaransa Mhe. Jean Yves Le Drian wakiwa wanaelekea sehemu ya mazungumzo rasmi

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.