Friday, March 26, 2021

RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA AONGOZA VIONGOZI, WANANCHI KUMUAGA HAYATI JPM

 Habari picha za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiongoza viongozi mbalimbali wa Serikali, taasisi binafsi, mashirika ya kimataifa, dini na wananchi kutoka Chato na mikoa jirani katika mazishi ya aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano Hayati Dkt. John Pombe Joseph Magufuli kijijini kwake Chato mkoani Geita.































No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.