Wednesday, November 30, 2022

SERIKALI YAZINDUA MFUMO WA KIDIGITALI WA KUAINISHA FURSA ZA UWEKEZAJI






Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Stergomena Tax akiwasilisha hotuba ya ufunguzikwa niaba ya Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa katika hafla ya uzinduzi wa mfumo wa kidigitali unaoainisha fursa za uwekezaji zinazogusa malengo ya maendeleo endelevu 
Naibu Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara, Mhe. Exaud Kigahe akitoa salamu za Wizara katika hafla ya uzinduzi wa mfumo wa kidigitali unaoainisha fursa za uwekezaji zinazogusa malengo ya maendeleo endelevu

Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo (UNDP), Bi. Christine Musisi akieleza mkakati wa UNDP katika kuisaidia Tanzania kufikia malengo ya Maendeleo Endelevu


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Stergomena Tax akizindua mfumo wa kidigitali unaoainisha fursa za uwekezaji zinazogusa malengo ya maendeleo endelevu 





 

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.