Tanzania delegation (R) in discussion with Oman delegation |
Wednesday, September 10, 2014
Rais Kikwete amwapisha Balozi mpya wa Tanzania nchini Rwanda
Balozi Siwa akisaini Hati ya Kiapo mbele ya Mhe. Rais Kikwete |
Mhe. Rais Kikwete akimkabidhi vitendea kazi, Balozi Siwa. |
Mhe. Rais Kikwete akimpongeza Balozi Siwa mara baada ya kiapo. |
Mhe. Rais Kikwete katika picha ya pamoja na Balozi Siwa. |
Mhe. Rais Kikwete katika picha ya pamoja na Familia ya Balozi Siwa. |
Mhe. Rais Kikwete apokea Hati za Utambulisho za Balozi mpya wa Norway nchini
Balozi Kaarstad akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) mara baada ya kuwasilisha Hati zake za utambulisho kwa Mhe. Rais. |
Balozi Kaarstad akisalimiana na Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na Amerika katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Joseph Sokoine. |
Mhe. Rais Kikwete akizungumza na Balozi Kaarstaad mara baada ya kupokea Hati za Utambulisho za Balozi huyo, Ikulu. |
Mhe. Rais Kikwete katika picha ya pamoja na Balozi Kaarstaad. |
Mhe. Rais Kikwete pamoja na Balozi Kaarstaad katika picha ya pamoja na Maafisa kutoka Ubalozi wa Norway. |
Balozi Kaarstad akisaini Kitabu cha Wageni mara baada ya kuwasili Ikulu kwa ajili ya kuwasilisha hati zake za utambulisho kwa Mhe. Rais. |
Maafisa kutoka Ubalozi wa Norway wakisikiliza wimbo wa taifa lao. |
Bendi ya Polisi ikipiga wimbo wa taifa la Norway kwa heshima ya Balozi wake (hayupo pichani). |
Rais Kikwete apokea Hati za Utambulisho za Balozi wa Rwanda nchini
Mhe. Rais Kikwete akizungumza na Balozi Kayihura mara baada ya kupokea hati zake za utambulisho |
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard K. Membe (Mb.)-kushoto) akifuatilia mazungumzo kati ya Mhe. Rais Kikwete na Balozi Kayihura (hawapo pichani) |
Rais Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Balozi Kayihura pamoja na Maafisa Waandamizi kutoka Ubalozi wa Rwanda hapa nchini. |
Balaozi Kayihura akisaini Kitabu cha Wageni mara baada ya kuwasili Ikulu, Dar es Salaam kabla ya kuwasilisha Hati za Utambulisho kwa Mhe. Rais. |
Bendi ya Polisi ikiongozwa na ASP Kulwa ikipiga wimbo wa taifa kwa heshima ya Balozi Kayihura wa Rwanda nchini (hayupo pichani) |
Tuesday, September 9, 2014
AU EXECUTIVE COUNCIL MEETS IN ADDIS ABABA ON EBOLA OUTBREAK
Hon. Mahadhi and Ambassador Naimi listening to ongoing discussions during an emergency meetingon Ebola outbreak held in Addis Ababa. |
Monday, September 8, 2014
Waziri Membe apokea Nakala za Hati za Utambulisho za Mabalozi wapya wa Rwanda na Norway hapa nchini
Balozi Kayihura akiwa na Maafisa Waandamizi wa Ubalozi wa Rwanda hapa nchini aliofutana nao. Katikati ni Bw. Sano Lambert na Bw. Ernest Bugingo. |
Mhe. Membe akimsikiliza Balozi Kayihura wakati wa mazungumzo yao. |
Mhe. Membe akiagana na Balozi Kayihura..................Mhe. Membe akipokea Nakala za Hati za Utambulisho za Balozi mpya wa Norway nchini |
Balozi Kaarstad na ujumbe aliofuatana nao wakimsikiliza Waziri Membe (hayupo pichani) |
Mhe. Membe akiagana na Balozi Kaarstad. |
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Uganda, Mhe. Yoweri Kaguta Museveni, anatarajiwa kuwasili nchini siku ya Jumatano asubuhi, tarehe 10 Septemba, 2014 kwa ziara ya kikazi ya siku moja.
Katika ziara hiyo nchini, Mhe. Museveni atakuwa na mazungumzo na mwenyeji wake, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ikulu, Dar es Salaam. Rais Museveni ataondoka baadaye siku hiyo hiyo kurejea nyumbani.
IMETOLEWA NA KITENGO CHA MAWASILIANO YA SERIKALI,
WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA
|
Waziri Membe apokea Hati za Utambulisho za Mratibu Mkazi mpya wa UN nchini
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akipokea Hati za Utambulisho za Mratibu Mkazi mpya wa Umoja wa Matiafa hapa nchini, Bw. Alvaro Rodriguez. Hafla hiyo fupi ilifanyika Ofisini kwa Mhe. Membe tarehe 08 Septemba, 2014. |
Mhe. Membe akizungumza na Bw. Rodriguez mara baada ya kupokea Hatiza ke za Utambulisho. ambapo alimhakikishia ushirikiano. |
Bw. Rodriguez pamoja na Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Celestine Mushy (katikati) na Bi. Hoyce Temu, Afisa kutoka Ofisi za Umoja wa Mataifa wakimsikiliza Mhe. Membe (hayupo pichani) |
Mhe. Membe akiagana na Bw. Rodriguez mara baada ya mazungumzo yao. |
Katibu Mkuu akutana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Ireland
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje naUshirikiano wa Kimataifa, Bw. John M. Haule akiwa katika picha ya pamoja na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Ireland, Bw. Niall Burges mara baada ya kukutana kwa mazungumzo. Bw. alikuwa nchini kwa ziara ya kikazi ya siku nne. |
Bw. Haule na Bw. Burges wakiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Ireland hapa nchini, Mhe. Fionnuala Gilsenan |
Bw. Haule, Bw. Burges na Mhe. Gilsenan wakiwa katika picha ya pamoja na Wakurugenzi wa Idara za Ushirikiano wa Kimataifa na Ulaya na Amerika katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Celestine Mushy (wa kwanza kushoto) na Balozi Joseph Sokoine (wa kwanza kulia) |
Wednesday, September 3, 2014
Naibu katibu Mkuu ashiriki hafla ya miaka 69 ya Taifa la Vietnam
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Rajabu Gamaha akisoma hotuba wakati wa hafla ya kuadhimisha miaka 69 ya Taifa la Vietnam iliyofanyika katika Hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam tarehe 02 Septemba, 2014 na kuhudhuriwa na Mabalozi wanaowakilisha nchi zao hapa nchini pamoja na wageni waalikwa. |
Balozi wa Vietnam nchini Mhe. Vo Thanh Nam (kushoto) akiwa na Balozi wa Cuba nchini. Mhe. Jorge Luis Lopez Tormo (wa tatu kushoto) pamoja na Bi. Samira Diria (wa kwanza kulia), Afisa Mambo ya Nje wakati wa hafla ya kuadhimisha miaka 69 ya Taifa la Vietnam. |
Balozi wa Indonesia nchini, Mhe. Zakaria Anshar (kushoto) akiwa na Bw. Emmanuel Luangisa (katikati), Afisa Mambo ya Nje pamoja na Afisa kutoka Ubalozi wa Vietnam wakati wa hafla ya kuadhimisha miaka 69 ya Taifa la Vietnam. |
Sehemu ya Wageni waalikwa wakiwemo Mabalozi wanaowakilisha nchi zao hapa nchini wakimsikiliza Balozi Gahama akihutubia wakati wa hafla ya kuadhimisha miaka 69 ya Taifa la Vietnam iliyofanyika katika Hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam |
Kaimu Murugenzi wa Idara ya Asia na Australasia, Bw. Nathaniel Kaaya akimpongeza Balozi wa Vietnam nchini, Mhe. Vo Thanh Nam kwa miaka 69 ya uhuru wa taifa lake. Picha na Reginald Philip |
Subscribe to:
Posts (Atom)