Wednesday, September 10, 2014

Balozi Marmo awasilisha Hati za Utambulisho kwa Rais wa Romania

Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani ambaye anawakilisha pia nchini Romania, Mhe. Philip Marmo (kulia) akiwasilisha Hati za Utambulisho kwa Rais wa Romania, Mhe. Traian Basescu tarehe 02 Septemba 2014.

Mhe. Marmo (kushoto) katika picha ya pamoja na Rais wa Romania, Mhe. Basescu.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.