Friday, September 12, 2014

Wizara ya Mambo ya Nje yakutana na Wadau kuandaa ushiriki kwenye Mkutano wa DICOTA


Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya DIASPORA katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bi. Rosemary Jairo akizungumza wakati wa kikao cha Wadau cha maandalizi ya Mkutano wa Mwaka wa Baraza la Watanzania waishio Marekani (DICOTA 2014) utakaofanyika North Carolina nchini Marekani kuanzia tarehe 2 hadi 5 Oktoba, 2014. Wadau hao wanatoka katika Wizara, Taasisi za Serikali na Sekta Binafsi.
Sehemu ya wadau wakimsikiliza Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya DIASPORA (hayupo pichani)
Wajumbe wakati wa kikao cha maandalizi.
Wajumbe wakifuatilia majadiliano wakati wa kikao
Kikao kikiendelea.
Sehemu nyingine ya wadau wakifuatilia kikao
Mdau kutoka CRDB, Bi. Lucy Naivasha akichangia wakati wa kikao hicho.
Baadhi ya wadau wakifuatilia kikao.


No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.