Monday, September 1, 2014

Wizara yapokea Computer ndogo 20 kutoka Ubalozi Mdogo wa Dubai

Mkuu wa kitengo cha Tecknolojia ya Habari na Mawasiliani (TEHAMA) Bw. Isaac Kalumuna akabidhi moja ya Computer ndogo kwa Mkuu wa Kitengo Cha Mawasiliano ya Serikali Bi. Mindi Kasiga, Computer hizo ni jitihada kutoka kwa Balozi Mdogo wa Tanzania- Dubai Bw. Omar Mjenga

Picha na Reginald Philip

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.