Monday, September 8, 2014

Waziri Membe apokea Hati za Utambulisho za Mratibu Mkazi mpya wa UN nchini


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akipokea Hati za Utambulisho za Mratibu Mkazi mpya wa  Umoja wa Matiafa hapa nchini, Bw. Alvaro Rodriguez.  Hafla hiyo fupi ilifanyika Ofisini kwa Mhe. Membe tarehe 08 Septemba, 2014.
Mhe. Membe akizungumza na  Bw. Rodriguez mara baada ya kupokea Hatiza ke za Utambulisho. ambapo alimhakikishia ushirikiano.
Bw. Rodriguez pamoja na Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Celestine Mushy (katikati) na Bi. Hoyce Temu, Afisa kutoka Ofisi za Umoja wa Mataifa wakimsikiliza Mhe. Membe (hayupo pichani)
Mhe. Membe akiagana na Bw. Rodriguez mara baada ya mazungumzo yao.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.