Wednesday, January 7, 2015

Mada kuhusu mwenendo wa bei za mafuta katika soko la dunia na athari zake kwa nchi yawasilishwa kwa maafisa wa Wizara ya Mambo ya Nje

Bw. Allan William mtaalamu wa sekta za kibenki nchini, akizungumza katika mhadhara na Maafisa wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa juu ya Mwenendo wa bei za mafuta duniani  na athari zake kwa nchi yetu, mhadhara huo umefanyika ukumbi wa mikutano wa Kimataifa JNICC uliopo jijini Dar es Salaam mapema leo Asubuhi.
Balozi Simba Yahaya, Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati (wa kwanza kulia), Balozi Mbelwa Kairuki (wa pili kutoka kulia), Mkurugenzi wa Idara ya Asia na Austrasia na Bw. Togolani Mavura kwa pamoja wakimsikiliza kwa makini Bw. Allan William.
Maafisa wa Wizara wakisikiliza kwa makini 
Balozi Simba Akichangia mada katika muadhara huo.
Bw. Adam Elinawinga kutoka kampuni ya PUMA naye akiendelea kuelezea mwendendo mzima wa bei za mafuta duniani na athari zake kwa nchi yetu. 
Msaidizi wa Rais (hotuba) Bw. Togolani Mavura akichangia mada katika muhadhara huo
Maafisa wa Wizara.
Mhadhara ukiendelea.
Picha na Reginald Philip


Monday, January 5, 2015

MEMBE APONGEZA ANGLIKANA KUPINGA USHOGA

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Bernard Kamillius Membe akizindua sherehe ya miaka 50 ya Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Dar es salaam, katika Kanisa Kuu la Mtakatifu Albano, jijini Dar es salaam jana Jumapili, Januari 4, 2015, akishuhudiwa na  Dk. Valentine Mokiwa, Askofu wa Dayosisi ya Dar es Salaam.
Waziri Membe akizungumza katika sherehe hiyo
Wachungaji wakimsikiliza Mheshimiwa Membe kwa makini wakati akiongea.
Masista nao wakifuatilia  
Askofu Mokiwa akitoa mahubiri katika ibada ya uzinduzi wa sherehe ya miaka 50 ya Diyosisi ya Dar es Salaam. .
Waziri Membe akisikiliza mahubiri yaliyokuwa yakitolewa na Askofu Valentino


Mahubiri yakiendelea.
Mwimbishaji kwaya akiwaimbisha nyimbo wanakwaya waliovalia majoho ya rangi ya blue na nyeupe.
Mcheza kinanda akisindikiza kwaya ya kanisa






Waziri Membe akikaribishwa na Askofu Mokiwa kwaajili ya utoaji wa vitabu vya kuchangishia fedha kwa ajili ya miradi ya Dayosisi
Waziri Membe aliaanza kumkabidhi kitabu cha Harambee Askofu Mokiwa
Ibada ikiendelea.

Picha na Reginald Philip

======================================

MEMBE APONGEZA ANGLIKANA KUPINGA USHOGA

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Membe, amelipongeza Kanisa la Anglikana Tanzania kwa kusimama kidete kupinga ndoa za jinsia moja, hata pale makanisa mengine ya Anglikana duniani yalipounga mkono suala hilo.
Akizindua sherehe za Miaka Hamsini tangu kuanzishwa kwa Dayosisi ya Dar es Salaam ya Kanisa hilo jana, Mhe. Membe alisema msimamo huo wa Kanisa na Watanzania uliipa serikali nguvu kukataa shinikizom kutoka nchi za Magharibi kwamba iidhinishe ushoga hapa nchini.
"Mlinitia nguvu sana pale niliposimama kidete kuwaambia rafiki zetu wa nje kuwa katika hilo la ndoa za jinsia moja, Tanzania tunaomba tukubaliane kutokukubaliana," alisema Mhe. Waziri, wakati wa uzinduzi huo uliofanyikia kwenye kanisa la Mtakatifu Albano, jijini Dar es Salaam. Sherehe za Miaka 50 ya Dayosisi ya Dar es Salaam zitafikia kilele Julai, mwaka huu.
Mhe. Membe alisema serikali itaendelea kushirikiana na Kanisa la Anglikana na madhehebu mengine ya dini kuboresha maisha ya Watanzania. "Naomba muendelee kushirikiana na serikali katika kutoa huduma kwa wananchi," aliwaambia waumini na waalikwa wengine waliohudhuria misa maalum ya uzinduzi iliyoongozwa na Askofu Valentine Mokiwa.
Aliwataka viongozi wa dini kuombea nchi umoja na  amani, na kuhimiza waumini wao kushiriki kikamilifu katika matukio mawili muhimu yanayolikabili taifa mwaka huu -- Kura ya maoni ya Katiba inayopendekezwa na Uchaguzi Mkuu wa Rais na Wabunge.
Uchaguzi wa Rais ni muhimu kwa sababu "Rais wa Awamu ya Tano atategemewa kuendeleza mema ya Awamu ya Nne na awamu zilizopita, na kutoa majawabu kwa changamoto za sasa na zijazo na kutusogeza karibu zaidi na Tanzania njema tunayoitamani, Tanzania yenye neema tele. Hatuko mbali na nchi yetu hiyo ya ahadi," alisema.

Mhe. Membe alishambulia rushwa na ifisadi kuwa ndivyo vinavyodidimiza nchi na kuongeza umasikini kwa wananchi licha ya Tanzania kuwa na rasilimali lukuki. "Tuchague viongozi waadilifu, wazalendo, wachapa kazi, wasio na uchu wa madaraka kwa ajili ya kujinufaisha wao binafsi na marafiki zao," alisema.
Alitaka vijana waandaliwe vyema kushiriki ujenzi na ulinzi wa taifa kwani ndio warithi. "Tukiwaandaa vyema,mustakabali wa taifa letu na watu wake utakuwa kwenye mikono salama. Tukishindwa leo, tutalia na kusaga meno kesho," alionya.

Monday, December 29, 2014

PRESS RELEASE

Hon. Dato' Sri Mohd Najib bin Tun Abdul Razak.  Malaysian Prime Minister

President of the United Republic of Tanzania, H.E. Jakaya Mrisho Kikwete has sent a condolence message to the Prime Minister of Malaysia,  Honourable Dato’ Sri Mohd Najib bin Tun Abdul Razak, following the worst flooding in more than a decade in Northeastern Malaysia that claimed at least 7 lives and forced nearly 160,000 people from their homes on 27th December, 2014. 


The message reads as follows:

“The Honourable Dato' Sri Mohd Najib bin Tun Abdul Razak,  
Prime Minister of Federal Government of Malaysia,
Putrajaya, MALAYSIA.

Honourable Prime Minister,

I have learnt with deep sorrow the worst flooding in Northeastern Malaysia in more than a decade which occurred on the 27th December, 2014 leading to the loss of lives of at least 7 people and forced nearly 160,000 from their homes.

On behalf of the Government and People of the United Republic of Tanzania, and indeed on my own behalf, I wish to convey to you, Honourable Prime Minister, and through you, to the Government and People of Malaysia, especially the families of the bereaved, our heartfelt condolence and deep sympathies.

At this moment of intense grief, the People of Tanzania wishes the victims of this calamity a full and speedy recovery amid the worst deluge in living memory of many Malaysians. Our thoughts and prayers are with the Malaysian people during this very difficult time of bereavement.

Please accept, Honourable Prime Minister, the assurances of my highest consideration.


Issued by: THE MINISTRY OF FOREIGN AFFAIRS AND INTERNATIONAL COOPERATION, DAR ES SALAAM
                                                                      

29TH DECEMBER, 2014

Wednesday, December 24, 2014

Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani awasilisha Hati za Utambulisho kwa Papa Francis

Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani,  Mhe. Philip Sang'ka Marmo, amewasilisha Hati za Utambulisho kwa Baba Mtakatifu Francis, Vatican-Roma, Italia. Balozi Marmo anawakilisha Ujerumani na ndiye anayemwakilisha Mheshimiwa Rais kwa Baba Mtakatifu (Holy See). Kwa utaratibu Mabalozi waliopo Italia hawaruhusiwi kuwakilisha nchi zao kwa Baba Mtakatifu yaani Holy See. Nchi nyingine ambazo Mhe. Balozi Marmo anawakilisha ni Austria, Bulgaria, Jamhuri ya Czech, Hungaria,Ujerumani, Poland, Slovakia, Romania na Switzerland.
Balozi Marmo akiwa katika picha ya pamoja na Baba Mtakatifu Francis
Baba Mtakatifu Francis akimsalimia Mtoto wa Mmoja wa Maafisa walioambatana na Balozi Marmo
Baba Mtakatifu Francis akiwa katika picha ya pamoja na Mabalozi waliowasilisha Hati zao za utambulisho, kulia kwa Baba Mtakatifu ni Balozi Philip Marmo na kushoto kwa Baba Mtakatifu ni Mke wa Balozi Marmo.

Monday, December 22, 2014

Rais Zuma akutana kwa mazungumzo na Rais Kikwete Ikulu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete (kulia) akimkaribisha Ikulu Rais wa Afrika Kusini, Mhe. Jacob Zuma alipofika kwa ajili ya mazungumzo rasmi. Mhe. Zuma amehitimisha ziara ya kikazi ya siku mbili tarehe 22 Desemba, 2014 baada ya kufanya mazungumzo na Rais Kikwete.
Rais Kikwete akimkaribisha  Rais Zuma kwenye chumba cha mazungumzo.
Mhe. Rais Kikwete na Mhe. Rais Zuma wakiwa katika picha ya pamoja na Makamu wa Rai wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal (wa pili kulia)  na Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini, Mhe. Maite Nkoana-Mashabane (wa kwanza kushoto).



Konseli Mkuu wa Tanzania Dubai, aagana na maafisa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa

Konseli Mkuu wa Tanzania Dubai Omar Mjenga (watatu toka kushoto) katika picha ya pamoja na maafisa kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa walipotembelea ofisini kwake kumuaga. Maafisa hawa ni kati ya timu imara iliyofanikisha ziara ya kikazi ya Mh. Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda nchi za Falme za Kiarabu.

Rais Zuma awasili nchini kwa ziara ya kikazi

Rais wa Afrika Kusini, Mhe. Jacob Zuma akiteremka kwenye ndege mara baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam usiku wa tarehe 21 Desemba, 2014. Mhe. Zuma yupo nchini kwa ziara ya kikazi ya siku mbili ambapo pamoja na mambo mengine atafanya mazungumzo rasmi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete tarehe 22 Desemba, 2014.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mohamed Gharib Bilal akiwa tayari kumpokea Mhe. Zuma alipowasili nchini kwa ziara ya kikazi.
Mhe. Zuma akipokelewa na Mhe. Dkt. Bilal mara baada ya kuwasili nchini. Anayeshuhudia ni Mkuu wa Itifaki, Balozi Juma Maharage
Mhe. Zuma akisalimiana na Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova ambaye alikuwepo uwanjani hapo kwa mapokezi
Mhe. Rais Zuma akisalimiana na Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Afrika katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bi. Zuhura Bundala wakati wa  mapokezi yake.
Rais Zuma kwa pamoja na Dkt. Bilal wakifurahia burudani ya ngoma iliyokuwa ikitolewa na moja vikundi vilivyokuwepo Uwanjani hapo wakati wa mapokezi.

Saturday, December 20, 2014

Taarifa kwa Vyombo vya Habari

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Rais wa Afrika Kusini, Mhe. Jacob Zuma anatarajiwa kuwasili nchini usiku wa tarehe 21 Desemba, 2014 kwa ziara ya kikazi ya siku mbili.

Mhe. Zuma atapokelewa na Mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete mara baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam.

Mhe. Zuma atakutana kwa mazungumzo rasmi na Mhe. Rais Kikwete tarehe 22 Desemba, 2014 kabla ya kuondoka nchini na kurejea nchini kwake.


IMETOLEWA NA: WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA, DAR ES SALAAM.


20 DESEMBA, 2014

Thursday, December 18, 2014

Press Release

Hon. Tony Abbott, Australian Prime Minister

PRESS RELEASE

President of the United Republic of Tanzania, His Excellency Jakaya Mrisho Kikwete has sent a condolence message to the Prime Minister of the Australian Government, Honourable Tony Abbott (MP) following the Sydney café siege which occurred on the 16th December, 2014 and claimed the lives of two people.

The message reads as follows:

“The Honourable,
 Tony Abbott (MP)
 Prime Minister of Australia,
 Canberra, AUSTRALIA.

Honourable Prime Minister,

I am deeply saddened by the Sydney cafe siege on the 16th December 2014 that claimed the lives of 2 people. The attack was indeed received with great shock in my country particularly at this time when the world is seen to be working together to end the scourge.

As the people of Australia continue to grieve for the loss of their loved ones, the Government and the people of the United Republic of Tanzania reiterates its continued support to the Australian Government on the fight against terrorism and wish the bereft families a full and fast recovery from the tumor.

Please accept, Honourable Prime Minister the assurances of my highest consideration”.

Issued by: THE MINISTRY OF FOREIGN AFFAIRS AND INTERNATIONAL COOPERATION, DAR ES SALAAM

18TH DECEMBER, 2014

Press Release


H.E. Manmoon Hussain, President of Pakistan


PRESS RELEASE

President of the United Republic of Tanzania, H.E. Jakaya Mrisho Kikwete has sent a condolence message to the President of the Islamic Republic of Pakistan, H.E. Manmoon Hussain following a terrorist attack which occurred on the 16th December, 2014 and claimed lives of 141 people.

The message reads as follows:

“H. E. Manmoon Hussain,
 President of the Islamic Republic of Pakistan,
 Islamabad,
 THE ISLAMIC REPUBLIC OF PAKISTAN.

Your Excellency,

I am deeply saddened by the devastating terrorist attack at the Army Public School in Peshawar City of Pakistan, on the 16th December 2014 that claimed the lives of 141 people, mostly children. It is indeed very shocking to see such a loss of innocent lives and the maiming of many others.

On behalf of the Government and the people of the United Republic of Tanzania, I wish to convey our heartfelt condolences and sympathies to you and through you to the Government and the people of the Islamic Republic of Pakistan for this tragic and cowardly act.

At this moment of intense grief, the People of Tanzania wishes the victims of this tragic act a full and speedy recovery. Our thoughts and prayers are with the Pakistan people during this very difficult time of bereavement.

Please accept, Your Excellency and Dear Brother the assurances of my highest consideration”.


Issued by: THE MINISTRY OF FOREIGN AFFAIRS AND INTERNATIONAL COOPERATION, DAR ES SALAAM
                                                                      
18TH DECEMBER, 2014











BALOZI DORA MSECHU AWASILISHA HATI ZA UTAMBULISHO KWA RAIS WA ESTONIA.


Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Mhe. Dora Msechu amewasilisha hati zake za utambulisho kwa Rais wa Estonia, Mhe. Toomas Hendrik Ilves.  Balozi Msechu pia alitembelea Chuo Kikuu cha Teknolojia cha Tallin na kuzungumza, Tea Varrak ambaye ni Rector wa Chuo hicho. Mazungumzo hayo yalilenga kuanzisha ushirikiano kati ya Chuo hicho na vyuo vya vyetu vya UDSM na UDOM na pia kutafuta fursa zaidi za masomo ya sayansi kwa ngazi ya Shahada ya Uzamili (Masters) na Shahada ya Uzamivu (Phd). Estonia ni moja ya nchi iliyopiga hatua kubwa sana katika masuala ya ICT.
Wakiwa chuoni hapo.


Wednesday, December 17, 2014

Press Release

H.H. Sheikh Tamim bin Hamad bin Khalifa Al Thani, Emir of Qatar

PRESS RELEASE

His Excellency Dr. Jakaya Mrisho Kikwete, President of the United Republic of Tanzania has sent a congratulatory message to His Highness Sheikh Tamim bin Hamad bin Khalifa Al Thani, Emir of the State of Qatar  on the occasion of the Anniversary of the Qatar National Day of the Founder of the State of Qatar Sheikh Jassim Bin Mohammed Al Thani.

The message reads as follows;

“His Highness, Sheikh Tamim bin Hamad bin Khalifa Al Thani,
Emir of the state of Qatar,
DOHA,

Your Highness,

On behalf of the Government and the people of the United Republic of Tanzania, and indeed on my own behalf, I would like to sincerely convey my warm congratulations to you, Your Highness and through you, to the Government and the people of Qatar on celebrating the Anniversary of the National Day of Founder of the State of Qatar.

The State of Qatar and the United Republic of Tanzania have enjoyed cordial bilateral relations over the years. As you commemorate this joyous occasion of your National Day, I wish to take this opportunity to reiterate my Government’s desire and commitment to further enhance the traditional bond of friendship and cooperation existing between our two countries for our mutual benefits.

Please accept, Your Highness, my most sincere congratulations and best wishes for the continued good health and happiness, and for the friendly people of the state of Qatar, further progress and prosperity”.

Issued by: THE MINISTRY OF FOREIGN AFFAIRS AND INTERNATIONAL COOPERATION, DAR ES SALAAM
17TH DECEMBER, 2014


SADC ESSAY WRITING COMPETITION FOR SECONDARY SCHOOLS, 2015

SADC ESSAY WRITING COMPETITION FOR SECONDARY SCHOOLS, 2015

The Southern African Development Community (SADC) Secretariat has organized the SADC students essay writing competition for the year 2015. The essay writing competition is intended to broaden knowledge of the secondary school going population on SADC activities. The competition is open to all students from Form 1 to Form 6. The students are required to begin researching on the topic prior writing and submitting the same to their Heads of School. 
The 34th SADC Summit of Heads of State and Government deliberated and agreed that the topic for the year 2015 be: "Leveraging the Region's Diverse Resources for Sustainable Economic and Social Development through Beneficiation and Value Addition". Discuss how this would result in Sustainable Economic Development.
The following set of questions below are meant to guide students when responding to the question above. Thus, on answering the question, students should answer all the questions listed below as follows: 
  1. Discuss the abundant natural resources versus economic development in the SADC Region as a whole expounding the issues of ownership, monetary values and benefits accrued from them on annual basis over the past five years? 
  2. Has the SADC Region ultimately benefited from its abundance of natural resources since the complete democratization with the fall of the Apartheid regime in South Africa in 1994?
  3. Discuss the Beneficiation and Value Addition with concrete proposals for SADC Region on ownership and processing of mineral/natural resources and how they benefited SADC citizens if at all and what can be improved to maximize benefits to the SADC citizenry?
  4. How should the SADC Region go about implementing the 34th Summit Theme in order for it to benefit the whole region including some of its Member States that might not have as much natural resources as the others?
  5. What role should be played in the operationalization of the 34th Summit Theme by non-state actors in the SADC Region, thus, private sector, Non Governmental Organizations, Traditional Authorities and Local Communities?
  6. As a secondary school learner, what do you think should be the education sector's role in the operationalization of the 34th Summit Theme to benefit the education sector in the whole region? 
Heads of schools are supposed to ensure that the students adhere to the following guidelines: 
  1. The essay should not be longer than 2000 words and not shorter than 1000 words.
  2. Where students have access to computers, they are advised to type their essays and submit both the soft and hard copies.
  3. Students who will type their essays will have to sign and initial the hard copies to make sure that they have not altered.
  4. The essay shall be written in English language.
  5. The front or cover page will display the name, sex, class, school address and stamp, Headmistress/Headmaster's email address, signature, phone number, region and country.
  6. The title of the essay should be written on the cover page and students should not paraphrase the title.
  7. The Handwritten essays will be written on one side of the A4 paper with double margin of two centimeters.

Students are expected to begin writing immediately and submit their essays to their Head of school. The Head of school will then be expected to constitute a marking panel which will choose best essays of the school. The panel should go though the essays without marking them and choose three essays to be submitted to the Permanent Secretary, Ministry of Education and Vocational Training not later than 15th April, 2015. The National Adjudication will take place from 2nd - 11th May, 2015 in order to get three entries which will be submitted to the SADC Secretariat in Gaborone, Botswana.
The same information can be found at on these websites: www.sadc.int; www.moe.go.tz; and www.pmolarg.go.tz 


*** Wishing you and your schools best wishes ***

Tuesday, December 16, 2014

Press Release

H.E. Mahmoud Abbas, President of the State of Palestine


PRESS RELEASE

H.E. Jakaya Mrisho Kikwete, President of the United Republic of Tanzania has sent a sympathy and condolence message to H.E. Mahmoud Abbas, President of the State of Palestine on the tragedy death of Hon. Mr. Ziad Abu Ein, Minister and Head of the Commission against the Wall and Settlements which occurred on 10th December, 2014. The message reads as follows:


“His Excellency Mahmoud Abbas,
President of the State of Palestine,
RAMALLAH, PALESTINE.


I have learnt with deep sorrow and sadness the tragedy death of Hon. Ziad Abu Ein, Minister and Head of the Commission against the Wall and Settlements which occurred on 10th December, 2014.


On behalf of the Government and the People of the United Republic of Tanzania I wish to convey to you, and through you, to the people of the State of Palestine, particularly the family of the bereaved our heartfelt condolence and deep sympathies.


The Government of the United Republic of Tanzania condemns in the strongest terms the excessive use of force by Israel forces to contain demonstrators led by Hon. Mr. Ziad Abu Ein in commemoration of International Human Rights Day.


In this time of grief, our hearfelt and prayers are with the family of the late Hon. Ziad Abu Ein and the people of the State of Palestine in general.


Please accept, Your Excellency and Dear Colleague, the the assurance of my highest consideration”.


Issued by: THE MINISTRY OF FOREIGN AFFAIRS AND INTERNATIONAL COOPERATION, DAR ES SALAAM

16TH DECEMBER, 2014