Wednesday, January 7, 2015

Mada kuhusu mwenendo wa bei za mafuta katika soko la dunia na athari zake kwa nchi yawasilishwa kwa maafisa wa Wizara ya Mambo ya Nje

Bw. Allan William mtaalamu wa sekta za kibenki nchini, akizungumza katika mhadhara na Maafisa wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa juu ya Mwenendo wa bei za mafuta duniani  na athari zake kwa nchi yetu, mhadhara huo umefanyika ukumbi wa mikutano wa Kimataifa JNICC uliopo jijini Dar es Salaam mapema leo Asubuhi.
Balozi Simba Yahaya, Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati (wa kwanza kulia), Balozi Mbelwa Kairuki (wa pili kutoka kulia), Mkurugenzi wa Idara ya Asia na Austrasia na Bw. Togolani Mavura kwa pamoja wakimsikiliza kwa makini Bw. Allan William.
Maafisa wa Wizara wakisikiliza kwa makini 
Balozi Simba Akichangia mada katika muadhara huo.
Bw. Adam Elinawinga kutoka kampuni ya PUMA naye akiendelea kuelezea mwendendo mzima wa bei za mafuta duniani na athari zake kwa nchi yetu. 
Msaidizi wa Rais (hotuba) Bw. Togolani Mavura akichangia mada katika muhadhara huo
Maafisa wa Wizara.
Mhadhara ukiendelea.
Picha na Reginald Philip


No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.