Friday, January 30, 2015

Balozi Msechu awasilisha Hati za Utambulisho nchini Latvia na Lithuania


Balozi Dora Msechu akiwasilisha Hati zake za utambulisho kwa Rais wa Latvia, Mhe. Andris Berznins, Tarehe 27/01/015  
Baloz Dora Msechu akiwa kwenye picha ya pamoja na Rais Andris Berznins
Balozi Dora Msechu akiwasilisha Hati zake za utambulisho kwa Rais wa Lithuania Mhe. Dalia Grybauskaite
Balozi Msechu akiwa katika picha ya pamoja na Rais Dalia Grybauskaite 

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.