Friday, January 9, 2015

Katibu mkuu Mambo ya Nje akutana na Mabalozi waliopanda mlima Kilimanjaro

Katibu mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Mataifa Bw. John Haule (Wa tatu kulia) akizungumza na baadhi ya waheshimiwa Mabalozi waliopanda mlima Kilimanjaro mwezi uliopita.
Baadhi ya waheshimiwa Mabalozi waliopanda mlima Kilimanjaro wakimsikiliza kwa makini Katibu Mkuu wa wizara ya Mambo ya Nje, Bw. Haule.
Picha na Reuben Mchome.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.