| Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Afrika Bi. Zuhura Bundara akizungumza katika ghafla ya kumwaga balozi wa Algeria. |
| Balozi Tabel akiendelea kuongea |
| Wageni waalikwa wakimpongeza Balozi Tabell kwa kumpigia makofi |
| Mkurugenzi Idara ya Asia na Australasia wizara ya Mambo ya Nje Balozi Mbelwa Kairuki naye akimsikiliza Balozi Tabell wa Algeria |
| Waziri Membe akimweleza jambo Mhe. Balozi. |
| Waziri Membe wakigonga Glasi (Cheers) |
| Waziri Membe akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Algeria Mhe Tabell. |
No comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.