Thursday, January 8, 2015

Wadau wajadili sera ya Taifa ya Mtangamano ya Afrika Mashariki


Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bw. John Haule akifungua kikao cha wadau cha kujadili Sera ya Taifa ya Mtangamano wa Afrika Mashariki, katika ukumbi wa JNICC jijini Dar es Salaam leo.
Mkurugenzi Idara ya Mashariki ya Kati Balozi Simba yahaya akiwa pamoja na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Dkt. Said Seif Mzee  wakifuatilia hotuba
Mkurugenzi wa Kitengo cha Sheria katika Wizara ya Mambo ya Nje, Balozi Irene Kasyanju pamoja na Mkuu wa Kitengo cha TEHEMA Bwa. Isack Kalumuna wakisikiliza Hotuba ya ufunguzi. 
Mkurugenzi wa Sera na Mipango katika Wizara ya Mambo ya Nje Bw. James Lugaganya akitoa mada kwa wadau kuhusu mambo muhimu yaliyozingatiwa katika Sera ya Taifa ya Mtangamano ya Afrika Mashariki

Wadau wakifuatilia mada iliyokuwa ikiwasilishwa na Bw. Lugaganya
Sehemu nyingine wadau
Balozi Mstaafu Vincenti Kibwana akichangia jambo katika kikao hicho
Mdau, Bi. Grace Naburi kutoka Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi naye akitoa mchango wake kuhusi sera hiyo


Mdau, Bw. Justin Moshi kutoka Wizara ya Katiba na Sheria
Mdau, Bi. Mindi Kasiga kutoka Wizara ya Mambo ya Nje nae akichangia mada
Wadau mbali mbali wakiwa katika kikao.
Kikao kikiendelea





Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bw. John Haule akiwa katika Picha ya pamoja na wadau.


Picha na Reginald Philip 

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.