Monday, December 22, 2014

Konseli Mkuu wa Tanzania Dubai, aagana na maafisa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa

Konseli Mkuu wa Tanzania Dubai Omar Mjenga (watatu toka kushoto) katika picha ya pamoja na maafisa kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa walipotembelea ofisini kwake kumuaga. Maafisa hawa ni kati ya timu imara iliyofanikisha ziara ya kikazi ya Mh. Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda nchi za Falme za Kiarabu.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.