Thursday, August 11, 2016

BALOZI HAULE AAGWA NAIROBI

Mhe. Haule akiongea wakati wa hafla ya kumuaga jana. Kushoto ni mkewe Mary.
Mhe. Balozi Haule (aliyeketi katikati) katika picha ya pamoja na Maofisa Ubalozi. Kushoto ni  Mama Mary Haule na Kulia ni Mkuu wa Utawala Ubalozini, Bi. Talha Waziri.
Mwakilishi wa Watanzania waishio Kenya, Bw. Victor Matemba akitoa salamu zao kwa Mhe. Haule.

Mhe. Haule na mkewe katika picha ya pamoja na watumishi wa Ubalozi wanaotoka Kenya (Local staff).

Wednesday, August 10, 2016

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa atembelea Kiwanda cha kushona nguo cha Tooku

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa akikagua ushonaji wa suruali za Jeans wakati alipotembelea kiwanda cha kushona nguo cha Tooku kilichopo kwenye eneo la EPZ, Mabibo External jijini Dar es salaam Agosti 10, 2016.  Kulia kwake ni Katibu Mkuu wa  Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Dr. Adelhem Meru na wapili kushoto ni Meneja Mkuu Msaidizi wa kiwanda hicho, Rigobert Massawe.


Mfano wa suruali ya Jeans zinazotengenezwa na kiwanda hicho zikiwa na utambulisho wa kutengenezwa nchini Tanzania. Hivi sasa kiwanda kimeanzisha programu ya kutoa mafunzo kwa vijana 400 kila mwezi katika miezi 12 na ifikapo mwisho wa mwaka jumla ya watanzania 6000 watakuwa wameajiriwa. 
Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa akikagua ushonaji wa suruali za Jeans wakati alipotembelea kiwanda cha kushona nguo cha Tooku kilichopo kwenye eneo la EPZ, Mabibo External jijini Dar es salaam Agosti 10, 2016.  Kulia kwake ni Katibu Mkuu wa  Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Dr. Adelhem Meru na wapili kushoto ni Meneja Mkuu Msaidizi wa kiwanda hicho, Rigobert Massawe.
Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa akikagua ushonaji wa suruali za Jeans wakati alipotembelea kiwanda cha kushona nguo cha Tooku kilichopo kwenye eneo la EPZ, Mabibo External jijini Dar es salaam  Agost 10, 2016 .  Kulia ni Balozi wa China nchini, Dkt Lu Youqing na kushoto ni Meneja Mkuu Msaidizi wa kiwanda hicho, Rigobert Massawe.
Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza  baada ya kutembelea kiwanda cha kushona nguo cha Tooku kilichopo kwenye eneo la EPZ, Mabibo External jijini Dar es salaam Agost 10, 2016.
Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa kiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa kiwanda cha kushona nguo cha  Tooku kilichopo eneo la EPZ,Mabibo External jijini Dar es salaam baada ya kutembelea kiwanda hicho na kuzungumza, Agosti 10,2016.  Kushoto ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Dkt. Adelhem Meru na kulia kwake ni Balozi wa China nchini, Dkt. Lu Youqing. 

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa atembelea Kiwanda cha kushona nguo cha Tooku

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua ushonaji wa suruali za Jeans wakati alipotembelea kiwanda cha kushona nguo cha Tooku kilichopo kwenye eneo la EPZ, Mabibo External jijini Dar es salaam Agosti 10, 2016.  Kulia kwake ni Katibu Mkuu wa  Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Dr. Adelhem Meru na wapili kushoto ni Meneja Mkuu Msaidizi wa kiwanda hicho, Rigobert Massawe.


Mfano wa Jeans zinazotengenezwa na kiwanda hicho zikiwa na utambulisho wa kutengenezwa nchini Tanzania. Hivi sasa kiwanda kimeanzisha programu ya kutoa mafunzo kwa vijana 400 kila mwezi katika miezi 12 na ifikapo mwisho wa mwaka jumla ya watanzania 6000 watakuwa wameajiriwa. 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua ushonaji wa suruali za Jeans wakati alipotembelea kiwanda cha kushona nguo cha Tooku kilichopo kwenye eneo la EPZ, Mabibo External jijini Dar es salaam Agosti 10, 2016.  Kulia kwake ni Katibu Mkuu wa  Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Dr. Adelhem Meru na wapili kushoto ni Meneja Mkuu Msaidizi wa kiwanda hicho, Rigobert Massawe.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua ushonaji wa suruali za Jeans wakati alipotembelea kiwanda cha kushona nguo cha Tooku kilichopo kwenye eneo la EPZ, Mabibo External jijini Dar es salaam  Agost 10, 2016 .  Kulia ni Balozi wa China nchini, Dkt Lu Youqing na kushoto ni Meneja Mkuu Msaidizi wa kiwanda hicho, Rigobert Massawe.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza  baada ya kutembelea kiwanda cha kushona nguo cha Tooku kilichopo kwenye eneo la EPZ, Mabibo External jijini Dar es salaam Agost 10, 2016.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa kiwanda cha kushona nguo cha  Tooku kilichopo eneo la EPZ,Mabibo External jijini Dar es salaam baada ya kutembelea kiwanda hicho na kuzungumza, Agosti 10,2016.  Kushoto ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Dkt. Adelhem Meru na kulia kwake ni Balozi wa China nchini, Dkt. Lu Youqing. 

Waziri Mkuu Majaliwa Kassim atembelea Kiwanda cha kushona nguo cha Tooku

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua ushonaji wa suruali za Jeans wakati alipotembelea kiwanda cha kushona nguo cha Tooku kilichopo kwenye eneo la EPZ, Mabibo External jijini Dar es salaam Agosti 10, 2016.  Kulia kwake ni Katibu Mkuu wa  Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Dr. Adelhem Meru na wapili kushoto ni Meneja Mkuu Msaidizi wa kiwanda hicho, Rigobert Massawe.


Mfano wa Jeans zinazotengenezwa na kiwanda hicho zikiwa na utambulisho wa kutengenezwa nchini Tanzania. Hivi sasa kiwanda kimeanzisha programu ya kutoa mafunzo kwa vijana 400 kila mwezi katika miezi 12 na ifikapo mwisho wa mwaka jumla ya watanzania 6000 watakuwa wameajiriwa. 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua ushonaji wa suruali za Jeans wakati alipotembelea kiwanda cha kushona nguo cha Tooku kilichopo kwenye eneo la EPZ, Mabibo External jijini Dar es salaam Agosti 10, 2016.  Kulia kwake ni Katibu Mkuu wa  Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Dr. Adelhem Meru na wapili kushoto ni Meneja Mkuu Msaidizi wa kiwanda hicho, Rigobert Massawe.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua ushonaji wa suruali za Jeans wakati alipotembelea kiwanda cha kushona nguo cha Tooku kilichopo kwenye eneo la EPZ, Mabibo External jijini Dar es salaam  Agost 10, 2016 .  Kulia ni Balozi wa China nchini, Dkt Lu Youqing na kushoto ni Meneja Mkuu Msaidizi wa kiwanda hicho, Rigobert Massawe.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza  baada ya kutembelea kiwanda cha kushona nguo cha Tooku kilichopo kwenye eneo la EPZ, Mabibo External jijini Dar es salaam Agost 10, 2016.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa kiwanda cha kushona nguo cha  Tooku kilichopo eneo la EPZ,Mabibo External jijini Dar es salaam baada ya kutembelea kiwanda hicho na kuzungumza, Agosti 10,2016.  Kushoto ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Dkt. Adelhem Meru na kulia kwake ni Balozi wa China nchini, Dkt. Lu Youqing. 

Vikao vya Maandalizi ya Kongamano la tatu la Diaspora vyaendelea Jijini Dar es Salaam

Mkurugenzi wa Idara ya Diaspora katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi, Anisa Mbega (katikati) akiongoza kikao cha maandilizi ya Kongamano la tatu la Diaspora kilichofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere, pembeni yake ni wajumbe wengine wa meza kuu. Kongamano hilo linatarajiwa kufanyika Zanzibar tarehe 24 – 25 Agosti, 2016
Sehemu ya wajumbe wakifuatilia wakifuatilia kikao kwa makini
Sehemu nyingine ya wajumbe wakifuatilia  kikao
Mwakilishi wa Diaspora Italy na VICOBA International Bw. Mwinyimwaka Hatibu akichangia jambo kwenye kikao cha maandilizi ya Kongamano la tatu la Diaspora kilichofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere. Kongamano hilo linalotarajiwakufanyika Zanzibar tarehe 24 – 25 Agosti, 2016

Naibu Waziri apokea hati za uwakilishi za Makonseli kutoka China na India Visiwani Zanzibar

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na UShirikiano wa Afrika Mashariki, Bi. Susan Kolimba (Mb.) akipokea Hati ya Uwakilishi kutoka kwa Konseli Mkuu kutoka Jamhuri ya Watu wa China, Bw. Xie Xiaow Visiwani Zanzibar
Mhe. Kolimba akifanya mazungumzo na Bw. Xie Xiaowu mara baada ya kupokea hati zake za utambulisho.




...Wakati huohuo Naibu Waziri alipokea hati za uwakilishi za Konseli Mkuu wa India nchini
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na UShirikiano wa Afrika Mashariki, Bi. Susan Kolimba (Mb.) akipokea Hati ya Uwakilishi kutoka kwa Konseli Mkuu kutoka Jamhuri ya India, Bw. T.C Barupal ambaye ataiwakilisha India Visiwani Zanzibar
Mhe. Kolimba akifanya mazungumzo na Bw. Barupal mara baada ya kupokea hati zake za utambulisho.

Waziri Mahiga akutana na Waziri wa Mambo ya Nje mstaafu wa China

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Augustine Mahiga (Mb.) akutana na kufanya mazungumzo na aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Watu wa China, Mhe. Li Zhaoxing ambaye ameongoza ujumbe kutoka Taasisi ya Diplomasia ya Umma ya China. Ujumbe huo upo nchini kwa ajili ya kuhamasisha  ushirikiano katika masuala ya Habari na Mawasiliano hususan kupitia vyombo vya habari ambavyo ni msingi katika kueleimisha umma masuala mbalimbali ya maendeleo.
Sehemu ya ujumbe ulioambatana na Mhe. Zhaoxing ukifuatilia mazungumzo kati yake na Mhe. Waziri Mahiga
Sehemu nyingine ya ujumbe kutoka China.
Mhe. Zhaoxing naye akimweleza jambo Mhe. Waziri Mahiga
Mkurugenzi wa Idara ya Asia na Australasia, Balozi Mbelwa Kairuki (kushoto), Mkuu wa Kitengo cha Mawasilino ya Serikali na Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bi. Mindi Kasiga na Afisa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Bw. Halmenshi Lunyumbu wakinukuu mazungumzo kati ya Mhe. Waziri Mahiga na Mhe. Zhaoxing (hawapo pichani).
Waziri Mahiga akimkabidhi zawadi ya Kahawa na Majani ya Chai yanayozalishwa nchini 
Waziri Mahiga na Mhe. Zhaoxing na wajumbe wengine waliohudhuria mkutano wakiwa katika picha ya pamoja. 

Thursday, August 4, 2016

Waziri Mahiga akutana na Wawakilishi kutoka Taasisi ya Bill na Melinda ya Marekani

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Augustine Mahiga akizungumza na Mwakilishi kutoka Taasisi ya Bill na Belinda Gates ya Marekani, Bi. Rosita Najmi. Katika mazungumzo yao Waziri Mahiga alimweleza Bi. Najmi kuwa Tanzania inathamini mchango unaotolewa na Taasisi ya Bill na Melinda katika miradi mbalimbali  ikiwemo kuboresha sekta ya afya na kilimo kwa maendeleo ya Taifa.
 Bi. Rosita  akimwelezea namna Taasisi hiyo ilivyojipanga kuendelea kushirikiana na Tanzania.
Bw. John Ndunguru, Afisa wa Program kutoka Taasisi ya Bill na Melinda naye akichangia jambo.
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali na Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bi. Mindi Kasiga (wa kwanza kulia) akiwa na  Bi. Ramla Hamis (katikati) na Bi. Prisca Mwanjesa, Maafisa Mambo ya Nje wakifuatilia  mazungumzo ya Dkt. Mahiga na Wawakilishi kutoka Taasisi ya Bill na Belinda Gates (hawapo pichani).
Mazungumzo yakiendelea
Picha ya pamoja .

Waziri Mahiga apokea Nakala za Utambulisho za Balozi Mteule wa Ireland nchini


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Augustine Mahiga (kulia) akiwa amepokea Nakala za Hati za Utambulisho za Balozi Mteule wa Ireland nchini, Mhe.Paul Sherlock. Makabidhiano hayo yamefanyika katika Ofisi za Wizara Jijini Dar es salaam tarehe 04 Agosti, 2016
Mhe. Waziri Mahiga akizungumza ambapo alimkaribisha Mhe. Balozi Sherlock na kumweleza kuwa Tanzania na Ireland zimekuwa zikishirikiana vizuri tangu kuanzishwa kwa ushirikiano wa kidiplomasia baina yao na kwamba Serikali ya Tanzania itashirikiana na Balozi huyo katika muda wake wote wa uwakilishi hapa nchini.



Kaimu Mkuu wa Itifaki katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bw. James Bwana pamoja na Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na Amerika, Bi. Mona Mahecha walishiriki makabidhiano hayo.
 Mazungumzo yakiendelea

Wednesday, August 3, 2016

Mkurugenzi wa Idara ya Asia akutana na Balozi wa China nchini

Mkurugenzi wa Idara ya Asia na Astralasia katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mbelwa Kairuki (kushoto) akizungumza na Balozi wa China nchini Mhe. Dkt. Lu Younqing alipomtembelea Wizarani jijini Dar es Salaam. Mazungumzo yao yalijikita katika kujadili masuala ya ushirikiano, maendeleo ya utekelezaji wa miradi ya ushirikiano baina ya Tanzania na China, pamoja na mipango ya uwekezaji inayotarajiwa kufanywa na Serikali ya China nchini.
wakati mazungumzo yakiendelea. 
Picha ya pamoja mara baada ya mazungumzo.