Wednesday, August 3, 2016

Mkurugenzi wa Idara ya Asia akutana na Balozi wa China nchini

Mkurugenzi wa Idara ya Asia na Astralasia katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mbelwa Kairuki (kushoto) akizungumza na Balozi wa China nchini Mhe. Dkt. Lu Younqing alipomtembelea Wizarani jijini Dar es Salaam. Mazungumzo yao yalijikita katika kujadili masuala ya ushirikiano, maendeleo ya utekelezaji wa miradi ya ushirikiano baina ya Tanzania na China, pamoja na mipango ya uwekezaji inayotarajiwa kufanywa na Serikali ya China nchini.
wakati mazungumzo yakiendelea. 
Picha ya pamoja mara baada ya mazungumzo.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.