Thursday, August 25, 2016

Rais Magufuli apokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Waheshimiwa Mabalozi wa Canada, Thailand na Austria


Balozi wa Canada nchini Tanzania, Mhe. Ian Myles akisaini Kitabu cha Wageni Ikulu Jijini Dar es Saalam kabla ya kuwasilisha Hati za Utambulisho kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli
Balozi wa Kanada nchini Tanzania, Mhe. Ian Myles akiwasilisha Hati zUtambulisho kwa Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Balozi  wa Kanada nchini Tanzania, Mhe. Ian Myles (katikati) akitoa heshima wakati Wimbo wa Taifa ulivyokuwa ukipigwa mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Saalam kuwasilisha Hati za Utambulisho kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli. Kushoto kwa Mhe. Balozi ni Kaimu Mkuu wa Itifaki, Bw. James Bwana.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi kutoka Ofisi ya Ubalozi wa Canada na Wizarani.Wapili kulia ni Balozi Joseph  Sokoine, Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki na wa kulia ni Balozi Zuhura Bundala, Mshauri wa Rais wa Masuala ya Diplomasia.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt John Pombe Magufuli akiwa katika mazungumzo na Balozi wa Canada nchini Tanzania, Mhe. Ian Myles baada ya kuwasilisha Hati za utambulisho. Kulia ni Balozi Joseph  Sokoine, Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki.


Balozi wa Thailand nchini Tanzania mwenye makazi  yake Nairobi, Kenya, Mhe. Prasittiporn Wetprasit akisaini Kitabu cha Wageni Ikulu Jijini Dar es Saalam kabla ya kuwasilisha Hati za Utambulisho kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli

Balozi wa Thailand nchini Tanzania mwenye makazi yake Nairobi, Kenya Mhe. Prasittiporn Wetprasit akiwasilisha Hati zUtambulisho kwa Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Balozi  wa Thailand nchini Tanzania, mwenye makazi yake Nairobi, Kenya, Mhe. Prasittiporn Wetprasit (katikati) akitoa heshima wakati Wimbo wa Taifa ulivyokuwa ukipigwa mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Saalam kuwasilisha Hati za Utambulisho kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli. Kushoto kwa Mhe. Balozi ni Kaimu Mkuu wa Itifaki, Bw. James Bwana.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt John Pombe Magufuli akiwa katika mazungumzo na Balozi wa Thailand nchini Tanzania mwenye makazi yake Nairobi, Kenya, Mhe. Prasittiporn Wetprasit baada ya kuwasilisha Hati za utambulisho. Kulia ni Balozi Joseph  Sokoine, Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Thailand nchini Tanzania mwenye makazi yake Nairobi, Kenya, Mhe. Prasittiporn Wetprasit. Kulia ni Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Joseph Sokoine na  kushoto ni Balozi Zuhura Bundala, Mshauri wa Rais wa Masuala ya Diplomasia.


Balozi  wa Austria nchini Tanzania mwenye makazi yake, Nairobi, Kenya, Mhe. Herald Gunther akisaini Kitabu cha Wageni Ikulu Jijini Dar es Saalam kabla ya kuwasilisha Hati za Utambulisho kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli
Balozi  wa Austria nchini Tanzania mwenye makazi yake Nairobi, Kenya, Mhe. Herald Gunther akiwasilisha Hati zUtambulisho kwa Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Balozi  wa Austria nchini Tanzania mwenye makazi yake Nairobi, Kenya, Mhe. Herald Gunther (katikati) akitoa heshima wakati Wimbo wa Taifa ulivyokuwa ukipigwa mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Saalam kuwasilisha Hati za Utambulisho kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli. Kushoto kwa Mhe. Balozi ni Kaimu Mkuu wa Itifaki, Bw. James Bwana.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.