Thursday, August 25, 2016

Wanadiaspora watembelea miradi ya maendeleo Zanzibar

Wanadiaspora wakipata maelezo kutoka kwa mkandarasi wa mradi wa ujenzi wa nyumba zinazojengwa na ZSSF kwaajili ya makazi katika eneo la Mbweni Zanzibar 
Sehemu ya Wanadiaspora (watanzania waishio ughaibuni) wakitizama mradi wa nyumba za kisasa unaoendelea
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula akiwa katika picha ya pamoja na Watanzania waishio Ughaibuni (Diaspora) waliohudhuria kongamano la tatu (3) la Diaspora lililofanyika katika Hotel ya Zanzibar Beach Resort.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.