Tuesday, August 16, 2016

Waziri Mahiga aomboleza kifo cha Hayati Aboud Jumbe Mwinyi

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Augustine Mahiga akisaini kitabu cha maombolezo ya kifo cha aliyekuwa Rais wa Awamu ya Pili wa Zanzibar na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Alhaji Aboud Jumbe Mwinyi kilichotokea tarehe 14 Agosti, 2016 Jijini Dar es Salaam. Mhe. Mahiga alisaini kitabu hicho  aliposhiriki mazishi ya Hayati Alhaji Aboud Jumbe yaliyofanyika Zanzibar tarehe 15 Agosti, 2016.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.