Tuesday, August 16, 2016

WAHESHIMIWA MABALOZI WAJITOKEZA KUSAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO

Mwakilishi wa Ubalozi wa Finland Nchini Bw. Simo-Pekla Perviainen (aliyeketi) akisaini Kitabu cha Maombolezo ya Kifo cha aliyekuwa Rais wa Awamu ya Pili wa Zanzibar na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Alhaji Aboud Jumbe Mwinyi katika Ofisi ya Makamu wa Rais Jijini Dar es Salaam
Balozi wa Jamhuri ya Msumbiji Nchini Mhe. Monica Patricio Clement Mussa akisaini Kitabu cha Maombolezo ya Kifo cha aliyekuwa Rais wa Awamu ya Pili wa Zanzibar na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Alhaji Aboud Jumbe Mwinyi katika Ofisi ya Makamu wa Rais Jijini Dar es Salaam
Kaimu Balozi wa Burundi Nchini Bw. Prefere Ndayishimiye akisaini Kitabu cha Maombolezo ya Kifo cha aliyekuwa Rais wa Awamu ya Pili wa Zanzibar na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Alhaji Aboud Jumbe Mwinyi katika Ofisi ya Makamu wa Rais Jijini Dar es Salaam
Mwakilishi wa Ubalozi wa Angola Nchini Bw. Joel Cumbo akisaini Kitabu cha Maombolezo ya Kifo cha aliyekuwa Rais wa Awamu ya Pili wa Zanzibar na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Alhaji Aboud Jumbe Mwinyi katika Ofisi ya Makamu wa Rais Jijini Dar es Salaam
Kaimu Balozi wa Jamhuri ya Watu wa Sudan Bw. Abuzied Shamseldin  Ahmed akisaini Kitabu cha Maombolezo ya Kifo cha aliyekuwa Rais wa Awamu ya Pili wa Zanzibar na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Alhaji Aboud Jumbe Mwinyi katika Ofisi ya Makamu wa Rais Jijini Dar es Salaam
Balozi wa Cuba Nchini Mhe. Jorge Luis Tormo akisaini Kitabu cha Maombolezo ya Kifo cha aliyekuwa Rais wa Awamu ya Pili wa Zanzibar na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Alhaji Aboud Jumbe Mwinyi katika Ofisi ya Makamu wa Rais Jijini Dar es Salaam

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.