Wednesday, August 24, 2016

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje ahudhuria mkutano wa Mawaziri wa ushirikiano wa Afrika na Singapore

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Susan Kolimba (wa pili kutoka kushoto), akifanya mazungumzo na Waziri wa Viwanda na Biashara nchini Singapore, Mhe. Dkt. Koh Poh Koon (wa tatu kutoka kushoto), wa kwanza kushoto ni Afisa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Emannuel Luangisa. Dkt. Kolimba yupo nchini Singapore kuhudhuria mkutano wa pili wa "Singapore - Sub Saharan Africa High Level Ministerial Exchange Visit" 
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Kolimba akizungumza na Balozi wa Heshima wa Tanzania nchini Singapore, wakati ulipoutembelea ubalozi huo.
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikano wa Afrika Mashariki, Dkt. Susan Kolimba (wa nne kutoka kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Mawaziri wenzake mara baada ya kumalizika mkutano wa Sub - Sahara Afrika

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.