Saturday, April 7, 2012

Kumbukumbu za Mauaji ya Kimbari ya Rwanda‏


View FOT01.JPG in slide show

Mhe. Mahadhi Juma Maalim (Mb.), Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa akitoa hotuba wakati wa Maadhimisho ya Kumbukumbu ya miaka 18 ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda yaliyofanyika hivi karibuni jijini Dar es Salaam katika Ukumbi wa Mikutano wa Mlimani City.
 
View FOTO2.JPG in slide show

Mhe. Naibu Waziri akiwasha mshumaa kama ishara ya kuwakumbuka mamia ya watu waliouawa nchini Rwanda mwaka 1994.


View FOTO3.JPG in slide show

Mhe. Naibu Waziri (wa pili kutoka kushoto) akiwa pamoja na wawakilishi mbalimbali wakati wa kumbukumbu hizo. Kutoka kushoto kwa Naibu Waziri ni Bw. Alexio Musindo, Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Kazi Duniani (ILO) hapa nchini anayefuata ni Bw.Lambert Sano, Kaimu Balozi wa Rwanda hapa nchini na mwisho ni Bw. Roland Amoussouga, Msemaji wa Mahakama ya Kimataifa ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda (ICTR) iliyopo Arusha.


No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.