Thursday, August 29, 2013

Mkurugenzi wa Ushirikiano wa Kimataifa akutana kwa mazungumzo na Mwenyekiti wa Tume ya Ukaguzi ya Ufilipino


Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Celestine Mushy akimkaribisha Wizarani Bibi Maria Gracia Pulido-Tan, Mwenyekiti wa Tume ya Ukaguzi ya Jamhuri ya Ufilipino alipofika kwa ajili ya mazungumzo. Bibi Pulido-Tan pia ni Mgombea wa Jamhuri ya Ufilipino kwenye Bodi ya Ukaguzi ya Umoja wa Mataifa. 

Bibi Pulido-Tan akimtambulisha kwa Balozi Mushy,  Bi. Donna Celeste Feliciano-Gatmaytan, Kaimu Balozi wa Ufilipino nchini Kenya.

Balozi Mushy akiwa katika mazungumzo na Bibi Pulido-Tan kuhusu masuala mbalimbali ya ushirikiano wa kimataifa.

Baadhi ya wajumbe kutoka Ufilipino waliofuatana na Bibi Pulido-Tan.

Balozi Mushy akiendelea na mazungumzo na Bibi Pulido-Tan huku Bi. Rose Kitandula (kulia), Afisa Mambo ya Nje akinukuu mazungumzo hayo.


Bibi Pulido-Tan akimweleza jambo Balozi Mushy wakati wa mazungumzo yao.

Mazungumzo yakiendelea.

Balozi Mushy katika picha ya pamoja na Bibi Pulido-Tan mara baada ya mazungumzo yao.

Picha ya pamoja.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.