Saturday, August 17, 2013

Rais Guebuza wa Msumbiji amkabidhi Rais Banda wa Malawi Uenyekiti wa SADC


Mwenyekiti wa SADC anayemaliza muda wake Rais Armando Emilio Guebuza wa Msumbiji akimkabidhi uenyekiti wa jumuiya hiyo Rais Dr.Joyce Banda wa Malawi wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa 33 wa SADC uliofanyika jijini Lilongwe Malawi.  (picha na Freddy Maro)

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.