Thursday, December 8, 2016

Katibu Mkuu na "TUNATEKELEZA" leo


Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki leo saa 3.30 hadi 4.30 usiku atazungumza kwenye kipindi cha "TUNATEKELEZA" kitakacho rushwa  kupitia TBC1, akielezea majukumu mbalimbali ya Wizara. Tafadhali fuatilia bila kukosa

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.